Thursday, October 29, 2009

Karume arejea home toka majuu


Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraa la Mapinduzi Amani Abeid Karume na mkewe mama Shadya Karume wakiwa wameongozana mara baada ya kuteremka kwenye ndege ya shirika la ndege la British Airways wakitokea nchini Ufaransa aklikokwenda kuhudhuria mkutano wa Unesco ambao ulizungumzia kukuwa kwa elimu Duniani.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...