Thursday, October 29, 2009

Karume arejea home toka majuu


Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraa la Mapinduzi Amani Abeid Karume na mkewe mama Shadya Karume wakiwa wameongozana mara baada ya kuteremka kwenye ndege ya shirika la ndege la British Airways wakitokea nchini Ufaransa aklikokwenda kuhudhuria mkutano wa Unesco ambao ulizungumzia kukuwa kwa elimu Duniani.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...