Thursday, October 29, 2009

Karume arejea home toka majuu


Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraa la Mapinduzi Amani Abeid Karume na mkewe mama Shadya Karume wakiwa wameongozana mara baada ya kuteremka kwenye ndege ya shirika la ndege la British Airways wakitokea nchini Ufaransa aklikokwenda kuhudhuria mkutano wa Unesco ambao ulizungumzia kukuwa kwa elimu Duniani.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...