Sunday, October 25, 2009

Mama Nyoni atembelea THI


KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA STAWI WA JAMII MAMA BRANDINA NYONI AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA ALIPOWASILI KUTEMBELEA TAASISI YA MOYO TANZANIA MWISHONI MWA WIKI LENGO LA ZIARA HIYO NI KUJIONEA JINSI TAASISI HIYO INAVYOENDESHA KAZI ZAKE. SHOTO NI MWASISI WA TAASISI HIYO DR FERDINARD MASAU NA KULIA NI MGANGA MKUU KATIKA WIZARA YA AFYA DK DEO MTASIWA.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...