KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA STAWI WA JAMII MAMA BRANDINA NYONI AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA ALIPOWASILI KUTEMBELEA TAASISI YA MOYO TANZANIA MWISHONI MWA WIKI LENGO LA ZIARA HIYO NI KUJIONEA JINSI TAASISI HIYO INAVYOENDESHA KAZI ZAKE. SHOTO NI MWASISI WA TAASISI HIYO DR FERDINARD MASAU NA KULIA NI MGANGA MKUU KATIKA WIZARA YA AFYA DK DEO MTASIWA.
Sunday, October 25, 2009
Mama Nyoni atembelea THI
KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA STAWI WA JAMII MAMA BRANDINA NYONI AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA ALIPOWASILI KUTEMBELEA TAASISI YA MOYO TANZANIA MWISHONI MWA WIKI LENGO LA ZIARA HIYO NI KUJIONEA JINSI TAASISI HIYO INAVYOENDESHA KAZI ZAKE. SHOTO NI MWASISI WA TAASISI HIYO DR FERDINARD MASAU NA KULIA NI MGANGA MKUU KATIKA WIZARA YA AFYA DK DEO MTASIWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
No comments:
Post a Comment