Sunday, October 25, 2009

Mama Nyoni atembelea THI


KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA STAWI WA JAMII MAMA BRANDINA NYONI AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA ALIPOWASILI KUTEMBELEA TAASISI YA MOYO TANZANIA MWISHONI MWA WIKI LENGO LA ZIARA HIYO NI KUJIONEA JINSI TAASISI HIYO INAVYOENDESHA KAZI ZAKE. SHOTO NI MWASISI WA TAASISI HIYO DR FERDINARD MASAU NA KULIA NI MGANGA MKUU KATIKA WIZARA YA AFYA DK DEO MTASIWA.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...