Sunday, October 25, 2009

Mama Nyoni atembelea THI


KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA NA STAWI WA JAMII MAMA BRANDINA NYONI AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA ALIPOWASILI KUTEMBELEA TAASISI YA MOYO TANZANIA MWISHONI MWA WIKI LENGO LA ZIARA HIYO NI KUJIONEA JINSI TAASISI HIYO INAVYOENDESHA KAZI ZAKE. SHOTO NI MWASISI WA TAASISI HIYO DR FERDINARD MASAU NA KULIA NI MGANGA MKUU KATIKA WIZARA YA AFYA DK DEO MTASIWA.

No comments:

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...