Sunday, October 18, 2009

Wahasibu wakihitimu masomo yao







Hii ilikuwa jana pale Waziri Mustafa Mkulo alipokuwa akiwatunuku ndugu zetu hawa wahasibu wa ngazi mbalimbali wanaotambuliwa na bodi ya taifa ya wahasibu Tanzania, kwa upana wao sasa wanatambuliwa na bodi, Katika picha nyingine wanaonekana wasanii wakitumbuiza katika hafla hiyo iliyofanyika Mhasibu House jijini Dar

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...