Sunday, October 18, 2009

Wahasibu wakihitimu masomo yao







Hii ilikuwa jana pale Waziri Mustafa Mkulo alipokuwa akiwatunuku ndugu zetu hawa wahasibu wa ngazi mbalimbali wanaotambuliwa na bodi ya taifa ya wahasibu Tanzania, kwa upana wao sasa wanatambuliwa na bodi, Katika picha nyingine wanaonekana wasanii wakitumbuiza katika hafla hiyo iliyofanyika Mhasibu House jijini Dar

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...