Sunday, October 18, 2009

Wahasibu wakihitimu masomo yao







Hii ilikuwa jana pale Waziri Mustafa Mkulo alipokuwa akiwatunuku ndugu zetu hawa wahasibu wa ngazi mbalimbali wanaotambuliwa na bodi ya taifa ya wahasibu Tanzania, kwa upana wao sasa wanatambuliwa na bodi, Katika picha nyingine wanaonekana wasanii wakitumbuiza katika hafla hiyo iliyofanyika Mhasibu House jijini Dar

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...