Sunday, October 18, 2009

Wahasibu wakihitimu masomo yao







Hii ilikuwa jana pale Waziri Mustafa Mkulo alipokuwa akiwatunuku ndugu zetu hawa wahasibu wa ngazi mbalimbali wanaotambuliwa na bodi ya taifa ya wahasibu Tanzania, kwa upana wao sasa wanatambuliwa na bodi, Katika picha nyingine wanaonekana wasanii wakitumbuiza katika hafla hiyo iliyofanyika Mhasibu House jijini Dar

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...