Monday, October 19, 2009

Siku ya afya ya akili duniani



Afisa Tawala katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Morogoro, Emmanuel Nzunda
akisoma risala wakati wa maadhimisho ya siku ya afya ya akili katika kituo
cha afya Sabasaba mjini Morogoro ambapo Manispaa hiyo ina wagonjwa wa akili
wapatao 622,



Wasanii wa kikundi cha Oldvai wakiwa wameungana na kutembelea mikono wakati
wakitoa burudani katika maadhimisho ya siku ya afya ya akili dunia
iliyofanyika katika kituo cha afya Sabasaba mjini Morogoro ambapo jumla ya
wagonjwa 622 wamebaini kukumbwa na ugonjwa huo katika Manispaa hiyo.

(Picha na Juma Mtanda).

No comments:

  Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...