Wednesday, October 14, 2009

mbio za mwenge zafika tamati


Kiongozi wa Mbio za mwenge mwaka huu Kheir Ahmada Mwawalo akimkabidhi Rais Kikwete nakala ya risala ya mwenge na taarifa za risala mbalimbali zilizosomwa wakati wa mbio za mwenge mwaka huu katika kilele cha sherehe hizo zilizofanyika Butiama mkano Mara leo mchana

Kiongozi wa mbio za ,mwenge mwaka huu 2009 Kheir Ahmada Mwawalo akiukabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika kilele cha sherehe za mbio hizo zilizofanyika Butiama, mkoani Mara leo mchana.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi mwenge wa Uhuru Waziri wa Kazi Vijana na maendelo ya ajira Profesa Juma Kapuya katika viwanja vya Butiama wakati wa kilele cha mbio za mwenge zilkizofanyika kijijinji hapo leo mchana.(picha zote na freddy Maro)

No comments: