Mshiriki wa Big Brother Revolution kutoka Tanzania Elizabeth akiwa na Kevin wa Nigeria wakati walipokuwa na kimuhe muhe cha kusubiria nani atatoka ndani ya jumba, bahati yao ni kwamba wote walisevu wakabaki ndani ya jumba na badala yake wakatimuliwa ndani ya jumba hilo Hannington wa Uganda na Yacob kutoka Ethiopia
Monday, October 12, 2009
Big Brother wetu bado yuko ndani ya nyumba
Mshiriki wa Big Brother Revolution kutoka Tanzania Elizabeth akiwa na Kevin wa Nigeria wakati walipokuwa na kimuhe muhe cha kusubiria nani atatoka ndani ya jumba, bahati yao ni kwamba wote walisevu wakabaki ndani ya jumba na badala yake wakatimuliwa ndani ya jumba hilo Hannington wa Uganda na Yacob kutoka Ethiopia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI
Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment