Monday, October 12, 2009

Big Brother wetu bado yuko ndani ya nyumba

Mshiriki wa Big Brother Revolution kutoka Tanzania Elizabeth akiwa na Kevin wa Nigeria wakati walipokuwa na kimuhe muhe cha kusubiria nani atatoka ndani ya jumba, bahati yao ni kwamba wote walisevu wakabaki ndani ya jumba na badala yake wakatimuliwa ndani ya jumba hilo Hannington wa Uganda na Yacob kutoka Ethiopia

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...