Mshiriki wa Big Brother Revolution kutoka Tanzania Elizabeth akiwa na Kevin wa Nigeria wakati walipokuwa na kimuhe muhe cha kusubiria nani atatoka ndani ya jumba, bahati yao ni kwamba wote walisevu wakabaki ndani ya jumba na badala yake wakatimuliwa ndani ya jumba hilo Hannington wa Uganda na Yacob kutoka Ethiopia
Monday, October 12, 2009
Big Brother wetu bado yuko ndani ya nyumba
Mshiriki wa Big Brother Revolution kutoka Tanzania Elizabeth akiwa na Kevin wa Nigeria wakati walipokuwa na kimuhe muhe cha kusubiria nani atatoka ndani ya jumba, bahati yao ni kwamba wote walisevu wakabaki ndani ya jumba na badala yake wakatimuliwa ndani ya jumba hilo Hannington wa Uganda na Yacob kutoka Ethiopia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...
No comments:
Post a Comment