Tuesday, October 06, 2009

ukame


pichani ni mfugaji Noah Lotokoduaki mkazi wa eneo la Kiranyi wilayani Arumeru akiwa amebeba majani kwa ajili ya ng'ombe wake, wilaya ya Arumeru mkoani Arusha hivi sasa inakabiliwa na ukame.Picha ya Mussa Juma

1 comment:

Christian Bwaya said...

Picha yenyewe sijaiona mkubwa. Marekebisho kidogo hapo?

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...