Tuesday, October 06, 2009

ukame


pichani ni mfugaji Noah Lotokoduaki mkazi wa eneo la Kiranyi wilayani Arumeru akiwa amebeba majani kwa ajili ya ng'ombe wake, wilaya ya Arumeru mkoani Arusha hivi sasa inakabiliwa na ukame.Picha ya Mussa Juma

1 comment:

Christian Bwaya said...

Picha yenyewe sijaiona mkubwa. Marekebisho kidogo hapo?

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...