Tuesday, October 06, 2009

ukame


pichani ni mfugaji Noah Lotokoduaki mkazi wa eneo la Kiranyi wilayani Arumeru akiwa amebeba majani kwa ajili ya ng'ombe wake, wilaya ya Arumeru mkoani Arusha hivi sasa inakabiliwa na ukame.Picha ya Mussa Juma

1 comment:

Christian Bwaya said...

Picha yenyewe sijaiona mkubwa. Marekebisho kidogo hapo?

UJUMBE WA MAAFISA KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA MISRI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA TANZANIA

Leo, tarehe 23/04/2026 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni maalum kutoka Chuo cha Kijeshi Misri (Egypt War College) walioko katik...