Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Azindua Mradi wa Umeme



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa umeme katika wilaya mpya ya Kilolo. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa nishati vijijini (Rural Energy Agency) na unakadiriwa kugharimu Sh 1,665,600,000/-.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...