Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Azindua Mradi wa Umeme



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa umeme katika wilaya mpya ya Kilolo. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa nishati vijijini (Rural Energy Agency) na unakadiriwa kugharimu Sh 1,665,600,000/-.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...