Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Azindua Mradi wa Umeme



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa umeme katika wilaya mpya ya Kilolo. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa nishati vijijini (Rural Energy Agency) na unakadiriwa kugharimu Sh 1,665,600,000/-.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...