Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Azindua Mradi wa Umeme



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa umeme katika wilaya mpya ya Kilolo. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa nishati vijijini (Rural Energy Agency) na unakadiriwa kugharimu Sh 1,665,600,000/-.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...