Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Azindua Mradi wa Umeme



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa umeme katika wilaya mpya ya Kilolo. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa nishati vijijini (Rural Energy Agency) na unakadiriwa kugharimu Sh 1,665,600,000/-.

No comments:

TANZANIA, CHINA ZAFUNGUA SURA MPYA YA USHIRIKIANO WA MASHIRIKA YA UMMA

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, jijini Dar es Salaam, akifuatilia kwa makini wa akiwa katika mkutano na ujumbe wa wataalamu kutoka SASA...