Wednesday, October 14, 2009

Mwenge wa Butiama

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Kheri Ahmada Mwawalo kutoka mkoa wa mjini Magharibi akiuwasha mwenge wa Mwitongo uliopo nyumbani kwa hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kijijini cha Butiama wilayani Musoma mkoa wa Mara . Tangu kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru mwaka 1961, mwenge wa Mwitongo huwa unawashwa kila mwaka na unajizima wenyewe baada ya mafuta kuisha.



No comments:

  Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...