Wednesday, October 14, 2009

Mwenge wa Butiama

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Kheri Ahmada Mwawalo kutoka mkoa wa mjini Magharibi akiuwasha mwenge wa Mwitongo uliopo nyumbani kwa hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kijijini cha Butiama wilayani Musoma mkoa wa Mara . Tangu kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru mwaka 1961, mwenge wa Mwitongo huwa unawashwa kila mwaka na unajizima wenyewe baada ya mafuta kuisha.



No comments:

UJUMBE WA MAAFISA KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA MISRI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA TANZANIA

Leo, tarehe 23/04/2026 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni maalum kutoka Chuo cha Kijeshi Misri (Egypt War College) walioko katik...