Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa Golf, wakiwa wameshikilia makombe na ngao walizofanikiwa kizibeba baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mashindano ya Afrika mashariki na Kati yaliofanyika Kampala , Uganda . Jumla ya nchi tano zilishiliki katika mashindano hayo ambazo ni Tanzania , Kenya , Zambia , Rwanda na wenyeji Uganda .
Monday, October 26, 2009
Wachezaji wa Golf wanawake wa Tanzania
Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa Golf, wakiwa wameshikilia makombe na ngao walizofanikiwa kizibeba baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mashindano ya Afrika mashariki na Kati yaliofanyika Kampala , Uganda . Jumla ya nchi tano zilishiliki katika mashindano hayo ambazo ni Tanzania , Kenya , Zambia , Rwanda na wenyeji Uganda .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
No comments:
Post a Comment