Monday, October 26, 2009

Wachezaji wa Golf wanawake wa Tanzania


Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa Golf, wakiwa wameshikilia makombe na ngao walizofanikiwa kizibeba baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mashindano ya Afrika mashariki na Kati yaliofanyika Kampala , Uganda . Jumla ya nchi tano zilishiliki katika mashindano hayo ambazo ni Tanzania , Kenya , Zambia , Rwanda na wenyeji Uganda .

No comments:

TANZANIA, CHINA KUSAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MASHIRIKA YA UMMA

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) iko katika hatua za mwisho za kukamilisha hati mbili za makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na ...