Monday, October 26, 2009

Wachezaji wa Golf wanawake wa Tanzania


Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa Golf, wakiwa wameshikilia makombe na ngao walizofanikiwa kizibeba baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mashindano ya Afrika mashariki na Kati yaliofanyika Kampala , Uganda . Jumla ya nchi tano zilishiliki katika mashindano hayo ambazo ni Tanzania , Kenya , Zambia , Rwanda na wenyeji Uganda .

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...