Monday, October 12, 2009

Mawaziri wakuu wateta


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mwaziri Wakuu wastaafu. Eward Lowass (kulia Na Dk Salim Ahmed Salim katika hafla ya kuchangia mfuko wa maendeleo ya Elimu kwa watoto wa kike9 (Mwalimu Nyerere Memorial Scholarship Fund) kwenye ukumbiwa Benki Kuu jijini Dar es salaam leo (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...