Monday, October 12, 2009

Mawaziri wakuu wateta


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mwaziri Wakuu wastaafu. Eward Lowass (kulia Na Dk Salim Ahmed Salim katika hafla ya kuchangia mfuko wa maendeleo ya Elimu kwa watoto wa kike9 (Mwalimu Nyerere Memorial Scholarship Fund) kwenye ukumbiwa Benki Kuu jijini Dar es salaam leo (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...