Sunday, April 27, 2008

Mshindi wa kisura wa Tanzania


emmy melau toka a-taun mshindi wa shindano la face of tanzania lililofanyika usiku huu hoteli ya moevenpick, dar, akifurahia baada ya kutwa taji

tano bora ya face of tanzania kabla ya kupanda jukwaani. hapo aliyeshinda ni emmy (pili shoto)

shindi wa pili yvonne ramomi toka zenj (kulia) na mshindi wa tatu edna makanzo wa dar (shoto)

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...