Friday, April 04, 2008

migodi yafuguliwa Mererani

Na Mussa Juma wa Mwananchi Mererani

SERIKALI imeruhusu shughuli za uchimbaji kuendelea katika migodi ya madini ya
Tanzanite ya Mererani wilayani Simanjiro katika maeneo ya kitalu C
kinachomilikiwa na wawekezaji wa Tanzanite One na kitalu D baada ya kufungwa
kutokana na maafa yaliyotokana mafuriko ya maji na kuuwa zaidi ya wachimbaji 64.

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Henry Shikifu alitangaza uamuzi huo jana wakati
akizungumza na waandishi wa habari na wachimbaji katika kikao kilichofanyika kituo
cha polisi katika machimbo ya Tanzanite Mererani.

Katika kikao hicho ambacho kilihudhuriwa pia na Naibu waziri wa Nishati na madini,
Adam Malima, Shekifu hata hivyo alisema uchimbaji wa migodi katika eneo la kitalu
B utaendelea kufungwa hadi hapo kamati ya maafa itakaporidhika na kuopolewa miili
ya wachimbaji wadogo wote waliofariki na kukamilika kwa zoezi ya kuboresha migodi
mingine katika kitalu hicho.

Uamuzi huo, wa kufunguwa migodi ya kitalu C na D na kuendelea kuifunga migodi ya
kitalu B ambayo ndiyo imeathirika sana na maafa hayo kunatokana na mapendekezo ya
Rais Jakaya Kikwete alipotembelea migodi hiyo na kuitaka kamati ya maafa ya
kufanyatathimini na kuhakikisha katika kipindi cha siku tatu wanafungua migodi
hiyo.

Awali serikali ilitangaza kusitisha zoezi hilo Jumapili iliyopita kupitia kwa
Waziri wa Madini na Nishati William Ngeleja ili kupisha zoezi la kuopoa miili ya
wachimbaji waliokufa kwa mafuriko hayo.

Katika agizo lake Waziri Ngeleja alisema wanafunga migodi ili wachimbaji wote
waelekeze nguvu zao katika zoezi la kuokoa miili na maisha ya wenzao waliokumbwa
na maafa.

5 comments:

Anonymous said...

Hi !.
You re, I guess , probably curious to know how one can make real money .
There is no need to invest much at first. You may begin to receive yields with as small sum of money as 20-100 dollars.

AimTrust is what you need
The firm represents an offshore structure with advanced asset management technologies in production and delivery of pipes for oil and gas.

It is based in Panama with affiliates everywhere: In USA, Canada, Cyprus.
Do you want to become an affluent person?
That`s your chance That`s what you desire!

I`m happy and lucky, I began to get real money with the help of this company,
and I invite you to do the same. It`s all about how to choose a proper companion utilizes your funds in a right way - that`s AimTrust!.
I earn US$2,000 per day, and what I started with was a funny sum of 500 bucks!
It`s easy to join , just click this link http://oraqevolyn.arcadepages.com/ukucorof.html
and lucky you`re! Let`s take our chance together to become rich

Anonymous said...

Hi there!
I would like to burn a theme at this forum. There is such a nicey, called HYIP, or High Yield Investment Program. It reminds of ponzy-like structure, but in rare cases one may happen to meet a company that really pays up to 2% daily not on invested money, but from real profits.

For quite a long time, I make money with the help of these programs.
I don't have problems with money now, but there are heights that must be conquered . I get now up to 2G a day , and my first investment was 500 dollars only.
Right now, I managed to catch a guaranteed variant to make a sharp rise . Visit my blog to get additional info.

[url=http://theblogmoney.com] Online investment blog[/url]

Anonymous said...

Hi there!
I would like to burn a theme at here. There is such a nicey, called HYIP, or High Yield Investment Program. It reminds of financial piramyde, but in rare cases one may happen to meet a company that really pays up to 2% daily not on invested money, but from real profits.

For quite a long time, I make money with the help of these programs.
I don't have problems with money now, but there are heights that must be conquered . I make 2G daily, and I started with funny 500 bucks.
Right now, I managed to catch a guaranteed variant to make a sharp rise . Visit my blog to get additional info.

[url=http://theinvestblog.com] Online investment blog[/url]

Anonymous said...

Good day!

Sure, you’ve heard about me, because my fame is running in front of me,
my name is Nikolas.
Generally I’m a venturesome analyst. all my life I’m carried away by online-casino and poker.
Not long time ago I started my own blog, where I describe my virtual adventures.
Probably, it will be interesting for you to read my travel notes and reports about winnings and losses on this way.
Please visit my blog. http://allbestcasino.com I’ll be interested on your opinion..

Anonymous said...

you are in reality a good webmaster. The site loading velocity is incredible.

It kind of feels that you are doing any unique trick.

Moreover, The contents are masterwork. you have performed a fantastic job on
this subject!

My web blog :: Jackpot 6000 free