Tuesday, April 01, 2008

Rais wa Anjouan Chali



Picha ya aliyekuwa mtawala wa kisiwa cha Anjouan-Comoro, Kanal Mohammed Bacar, ikiwa imegeuzwa kicha juu chini baada ya wanajeshi wa Jeshi la Umoja wa Afrika AU wakiongozwa na wanajeshi wa jeshi la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kufanikiwa kumuondoa na kufanikiwa kukimbilia nchini ufaransa.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...