Tuesday, April 01, 2008

Rais wa Anjouan Chali



Picha ya aliyekuwa mtawala wa kisiwa cha Anjouan-Comoro, Kanal Mohammed Bacar, ikiwa imegeuzwa kicha juu chini baada ya wanajeshi wa Jeshi la Umoja wa Afrika AU wakiongozwa na wanajeshi wa jeshi la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kufanikiwa kumuondoa na kufanikiwa kukimbilia nchini ufaransa.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...