Tuesday, April 01, 2008

Rais wa Anjouan Chali



Picha ya aliyekuwa mtawala wa kisiwa cha Anjouan-Comoro, Kanal Mohammed Bacar, ikiwa imegeuzwa kicha juu chini baada ya wanajeshi wa Jeshi la Umoja wa Afrika AU wakiongozwa na wanajeshi wa jeshi la wananchi wa Tanzania(JWTZ) kufanikiwa kumuondoa na kufanikiwa kukimbilia nchini ufaransa.

No comments:

MHANDISI MRAMBA AFUNGUA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA NISHATI JUA KWA WATAALAM

📌 Yanahusu usanifu, utengenezaji, ufungaji  mifumo ya Nishati Jua na matumizi yake 📌 Asema mafunzo yanalenga kuendeleza matumizi ya nishat...