Thursday, April 10, 2008

Kazi ya Jeshi kugangamala

Hebu mcheki huyu mdada alivyorusha mguu hewani, hakika kaiva ipasavyo, hii ilikuwa majuzi hapo jirani ya nchi yetu Kenya wakati askari wapya walipopass out hakika wameiva hebu nambie, hapo mwananchi mkaidi utaona ndani. Picha kwa niaba ya gazeti la Nation la Kenya

1 comment:

Simon Kitururu said...

Najiuliza tu ,sijui wale askari wetu wenye vitambi wanajisikiaje wakimuona askari mkakamavu kama huyu!

SEKTA YA NYUMBA YAPATA MSUKUMO MPYA, NHC YATEKELEZA MIRADI YA MABILIONI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo a kiwasilisha  Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ...