Hebu mcheki huyu mdada alivyorusha mguu hewani, hakika kaiva ipasavyo, hii ilikuwa majuzi hapo jirani ya nchi yetu Kenya wakati askari wapya walipopass out hakika wameiva hebu nambie, hapo mwananchi mkaidi utaona ndani. Picha kwa niaba ya gazeti la Nation la Kenya
Thursday, April 10, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI
Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
Najiuliza tu ,sijui wale askari wetu wenye vitambi wanajisikiaje wakimuona askari mkakamavu kama huyu!
Post a Comment