Hebu mcheki huyu mdada alivyorusha mguu hewani, hakika kaiva ipasavyo, hii ilikuwa majuzi hapo jirani ya nchi yetu Kenya wakati askari wapya walipopass out hakika wameiva hebu nambie, hapo mwananchi mkaidi utaona ndani. Picha kwa niaba ya gazeti la Nation la Kenya
Thursday, April 10, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
1 comment:
Najiuliza tu ,sijui wale askari wetu wenye vitambi wanajisikiaje wakimuona askari mkakamavu kama huyu!
Post a Comment