Tuesday, April 01, 2008

Kwa waliopita Tabora Boyz



P

Picha hizi nimezifuma kwa Mdau Issa Michuzi iliwakililishwa kwake na mdau mmoja hivi karibuni, shule hii ni maalumu ya kijeshi. Aliyeiwakilisha kwa michuzi ni alisoma pale mwaka 1997-1999. Mimi nilikuwapo kule mwaka 1993-95.

Picha hizi imetukumbusha mengi wadau mambo ya A and B coy, unyuka, afande Majambo, dada zetu wa warsaw,redo, kuengua, nguchiro, nguna, bweni la A-level la SINA aka 'Sleeping Is Not Allowed', Mwl. Mkumba, Mwl. Mwombeki bila kusahau Afande Peter, Afande Warioba, Afande Chacha na wengineo.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...