Tuesday, April 01, 2008

Kwa waliopita Tabora Boyz



P

Picha hizi nimezifuma kwa Mdau Issa Michuzi iliwakililishwa kwake na mdau mmoja hivi karibuni, shule hii ni maalumu ya kijeshi. Aliyeiwakilisha kwa michuzi ni alisoma pale mwaka 1997-1999. Mimi nilikuwapo kule mwaka 1993-95.

Picha hizi imetukumbusha mengi wadau mambo ya A and B coy, unyuka, afande Majambo, dada zetu wa warsaw,redo, kuengua, nguchiro, nguna, bweni la A-level la SINA aka 'Sleeping Is Not Allowed', Mwl. Mkumba, Mwl. Mwombeki bila kusahau Afande Peter, Afande Warioba, Afande Chacha na wengineo.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...