Tuesday, April 01, 2008

Kwa waliopita Tabora Boyz



P

Picha hizi nimezifuma kwa Mdau Issa Michuzi iliwakililishwa kwake na mdau mmoja hivi karibuni, shule hii ni maalumu ya kijeshi. Aliyeiwakilisha kwa michuzi ni alisoma pale mwaka 1997-1999. Mimi nilikuwapo kule mwaka 1993-95.

Picha hizi imetukumbusha mengi wadau mambo ya A and B coy, unyuka, afande Majambo, dada zetu wa warsaw,redo, kuengua, nguchiro, nguna, bweni la A-level la SINA aka 'Sleeping Is Not Allowed', Mwl. Mkumba, Mwl. Mwombeki bila kusahau Afande Peter, Afande Warioba, Afande Chacha na wengineo.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...