Friday, April 04, 2008

matata ya Mererani




Pichani juu mmoja wa waokoaji Alfonce Silayo (kushoto) akimwelza mmiliki wa mgodi Fred Mbwambo (kulia) hali ilivyo ndani ya mgodi na jinsi zoezi la kutoa miili iliyoonekana jana jioni ilivyokuwa gumu , picha inayofuata sehemu ya umati wa wachimbaji wadogo wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete alipozungumza nao jana wakati Rais alipotembelea eneo hilo la maafa
na chini kabisa Catapilar za kampuni ya TanzaniteOne zikiwa kazini kutengeneza upaya mtaro wa maji na kuziba sehemu yam taro huo iliyobomoka na kuleta maafa kwa wachimbaji. Picha kutoka kwa mdau Athumani Khamis wa Daily News.

Posted: 06:43, Tuesday, April 1, 2008

No comments: