Wednesday, April 09, 2008

Wabunge wapya



Mbunge wa Kiteto,Mh Benedict Ole Nangoro akila kiapo cha uaminifu bungeni Dodoma jana mjini Dodoma baada ya kushinda uchaguzi katika jimbo jilo hivi karibuni.. Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akila kiapo kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge la jamhuri wa Tanzania, Mh Samwel Sitta,mjini Dodoma jana.Picha Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu


Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akiapa kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge, Samwel Sitta, mjini Dodoma leo
Picha za Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Christian Bwaya said...

Mzee kazi yako imetulia. Huwa napita bila kuacha maoni, ila si vibaya nikifanya hivyo kukutia moyo.

Kazi yako ni njema sana.

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...