Wednesday, April 09, 2008

Wabunge wapya



Mbunge wa Kiteto,Mh Benedict Ole Nangoro akila kiapo cha uaminifu bungeni Dodoma jana mjini Dodoma baada ya kushinda uchaguzi katika jimbo jilo hivi karibuni.. Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akila kiapo kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge la jamhuri wa Tanzania, Mh Samwel Sitta,mjini Dodoma jana.Picha Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu


Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akiapa kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge, Samwel Sitta, mjini Dodoma leo
Picha za Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Christian Bwaya said...

Mzee kazi yako imetulia. Huwa napita bila kuacha maoni, ila si vibaya nikifanya hivyo kukutia moyo.

Kazi yako ni njema sana.

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...