E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.
Sunday, April 13, 2008
Kipigo kikali
E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment