Sunday, April 13, 2008

Kipigo kikali


E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...