E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.
Sunday, April 13, 2008
Kipigo kikali
E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI
Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment