Sunday, April 13, 2008

Kipigo kikali


E bwaana watu wakiibiwa siku hizi hawana subira hutafuta tairi matofali na kila kitu ili mradi kuhakikisha wanaangamiza yule aliyepora, tabia hii imeenea sana na wakati mwingine huwakumba watu wasio na hatia na huuawa, je msomaji unafikiriaje, huyu jamaa alikutwa pale IFM anachomoa mali za watu amepigwa gadi basi. Picha ya mdau Deus Mhagale.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...