Tuesday, April 29, 2008

Bongo noma kichizi


Mambo ya bongo kiboko kila kitu kwa foleni, magari foleni shuleni folleni hadi nyumbani foleni hebu nambieni picha hii ya mdau Deus Mhagale inaonyesha msongamano mkubwa katika mitaa ya Jamhuri

No comments:

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...