Tuesday, April 29, 2008

Bongo noma kichizi


Mambo ya bongo kiboko kila kitu kwa foleni, magari foleni shuleni folleni hadi nyumbani foleni hebu nambieni picha hii ya mdau Deus Mhagale inaonyesha msongamano mkubwa katika mitaa ya Jamhuri

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...