Tuesday, April 29, 2008

Bongo noma kichizi


Mambo ya bongo kiboko kila kitu kwa foleni, magari foleni shuleni folleni hadi nyumbani foleni hebu nambieni picha hii ya mdau Deus Mhagale inaonyesha msongamano mkubwa katika mitaa ya Jamhuri

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...