Tuesday, April 29, 2008

Bongo noma kichizi


Mambo ya bongo kiboko kila kitu kwa foleni, magari foleni shuleni folleni hadi nyumbani foleni hebu nambieni picha hii ya mdau Deus Mhagale inaonyesha msongamano mkubwa katika mitaa ya Jamhuri

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...