Monday, April 21, 2008

Utupaji taka hovyo


Hebu angalia uchafuzi wa mazingira ulivyo ndani ya miji yetu, watu wanatupa vitu popote wanapotaka, hali hii haipendezi na ndiyo inayorudisha maendeleo ya afya ya jamii yetu nyuma.

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...