Monday, April 21, 2008

Utupaji taka hovyo


Hebu angalia uchafuzi wa mazingira ulivyo ndani ya miji yetu, watu wanatupa vitu popote wanapotaka, hali hii haipendezi na ndiyo inayorudisha maendeleo ya afya ya jamii yetu nyuma.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...