Tuesday, April 22, 2008

Bongo Dar es Salaam


Dar kila mtu yuko bize na mambo yake na kila mmoja anasaka kile anachokitaka wakati mwingine vitu humfuata mtu badala ya mtu kufuata vitu, hebu cheki wabongo hapa wanavyochangamkia viwalo.
Kilio cha samaki machozi yanakwenda na maji, hapa pichani mkazi wa jiji la Dar es salaam anaonekana akiwaandaa samaki tayari kwa kuwauza, picha zote kwa niaba ya mdau wa blogu hii.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...