Tuesday, April 22, 2008

Bongo Dar es Salaam


Dar kila mtu yuko bize na mambo yake na kila mmoja anasaka kile anachokitaka wakati mwingine vitu humfuata mtu badala ya mtu kufuata vitu, hebu cheki wabongo hapa wanavyochangamkia viwalo.
Kilio cha samaki machozi yanakwenda na maji, hapa pichani mkazi wa jiji la Dar es salaam anaonekana akiwaandaa samaki tayari kwa kuwauza, picha zote kwa niaba ya mdau wa blogu hii.

No comments:

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...