Tuesday, April 22, 2008

Bongo Dar es Salaam


Dar kila mtu yuko bize na mambo yake na kila mmoja anasaka kile anachokitaka wakati mwingine vitu humfuata mtu badala ya mtu kufuata vitu, hebu cheki wabongo hapa wanavyochangamkia viwalo.
Kilio cha samaki machozi yanakwenda na maji, hapa pichani mkazi wa jiji la Dar es salaam anaonekana akiwaandaa samaki tayari kwa kuwauza, picha zote kwa niaba ya mdau wa blogu hii.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...