Tuesday, April 22, 2008

Bongo Dar es Salaam


Dar kila mtu yuko bize na mambo yake na kila mmoja anasaka kile anachokitaka wakati mwingine vitu humfuata mtu badala ya mtu kufuata vitu, hebu cheki wabongo hapa wanavyochangamkia viwalo.
Kilio cha samaki machozi yanakwenda na maji, hapa pichani mkazi wa jiji la Dar es salaam anaonekana akiwaandaa samaki tayari kwa kuwauza, picha zote kwa niaba ya mdau wa blogu hii.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...