Angalia hapo juu unambie kuna kosa gani katika bendera ya taifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BILIONI 10.5 KUNUFAISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO ZAIDI YA 100,000 WALIORASIMISHWA
Na WMJJWM – DODOMA Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nda...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
3 comments:
Charahani,
Mimi sijaona kosa.Nimeona usahihi tofauti.Labda sasa tuketi chini na kuukubali ukweli na kisha kurudisha lile wazo la nani hii ambalo alipolianzisha miaka ile tulimuona kama mwendawazimu.
mzee bendera imegeuzwa hiyo
Nakubaliana na anoy kuwa bendera imegeuzwa, ila chakujiuliza ni kuwa, je imegeuzwa makusudi?
Post a Comment