WAVUJA Jasho bwana tuna staili zetu za maisha tofauti kabisa na nyinyi mnaojifanya mna uwezo mkubwa wa maisha, nasema mnajifanya mna uwezo mkubwa wa maisha sababu mnatudhulumu kile ambacho na sisi tulistahili kuwa nacho.
Ingekuwa ni halali yenu basi nasi tusingekuwa na budi kukubali na kuwasifieni kwa hicho mlicho nacho, japo kuna wachache mno wenye halali, lakini kwa mtizamo wetu wavuja jasho, tunajua hicho mlicho nacho aidha mmekiiba au kukidhulumu kutoka kwetu bila ya sisi kujua.
Ndiyo maana maisha yetu ni magumu yataendelea kuwa magumu kwasababu hata wanaojidai kuwa wana lengo la kutusaidia wanafanya hivyo ili kusudi wapate wingi wetu ili wakaombee misaada.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment