Sunday, August 26, 2007

Hivi bendera ya Taifa imekuwaje


Angalia hapo juu unambie kuna kosa gani katika bendera ya taifa

3 comments:

Anonymous said...

Charahani,
Mimi sijaona kosa.Nimeona usahihi tofauti.Labda sasa tuketi chini na kuukubali ukweli na kisha kurudisha lile wazo la nani hii ambalo alipolianzisha miaka ile tulimuona kama mwendawazimu.

Anonymous said...

mzee bendera imegeuzwa hiyo

Simon Kitururu said...

Nakubaliana na anoy kuwa bendera imegeuzwa, ila chakujiuliza ni kuwa, je imegeuzwa makusudi?

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...