Sunday, August 12, 2007

Muzeee



Babu ameishi maisha yake hadi kafika umri huu, amepitia magumu machungu na kila liwalo, kazi kwetu vijana hii ni kama ndoto vile bila shaka baada ya miaka 10 ijayo mtu mwenye miaka 33 ndo ataonekana babu.

No comments: