Sunday, August 12, 2007

JIJI LA DODOMA?????












Imekuwa kama ndoto vile kila siku, wanasiasa wanadai watahamia Dodoma, wakahamishia bunge, baadhi ya wizara, miundombinu, taasisi na hali kadhalika, lakini haiwi, hebu cheki huu ni mojawapo ya ujenzi mpya unaofanywa na serikali jijini humo nyumba hizi zimetimilika na zinatarajiwa kutumika na wananchi wote. Picha hii ni ya Mpoki Bukuku

No comments:

SERIKALI KUONGEZA NGUVU KUPAMBANA NA WANYAMAPORI WAKALI TANGA

Na Sixmund Begashe, Tanga Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kutumia mbinu na teknolojia mbalimbali za kupambana na Wanyamapori wakali...