Sunday, August 12, 2007

JIJI LA DODOMA?????












Imekuwa kama ndoto vile kila siku, wanasiasa wanadai watahamia Dodoma, wakahamishia bunge, baadhi ya wizara, miundombinu, taasisi na hali kadhalika, lakini haiwi, hebu cheki huu ni mojawapo ya ujenzi mpya unaofanywa na serikali jijini humo nyumba hizi zimetimilika na zinatarajiwa kutumika na wananchi wote. Picha hii ni ya Mpoki Bukuku

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...