Tuesday, August 14, 2007

Mutoto wa Moro



Sijui hii ni ajira mbaya kwa watoto au ni mtoto anajitahidi kujikimu, tafsiri ya hii term ajira kwa watoto inanisumbua mno. Mtoto huyu alikutwa Moro na Mdau Ashton Balaigwa akidunda mzigo kwa kwenda mbele.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...