Tuesday, August 14, 2007

Mutoto wa Moro



Sijui hii ni ajira mbaya kwa watoto au ni mtoto anajitahidi kujikimu, tafsiri ya hii term ajira kwa watoto inanisumbua mno. Mtoto huyu alikutwa Moro na Mdau Ashton Balaigwa akidunda mzigo kwa kwenda mbele.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...