Monday, August 13, 2007

Kilwa Kivinje


Tunazo sehemu nyingi sana za kujivunia hapa klwetu bongo mathalani magofu haya ya Kilwa Kivinje ambayo mdau Hussein Issa alikuwako huko na kuyaona, yanasemekana yalikuwako katika karne ya 15.

No comments:

BILIONI 10.5 KUNUFAISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO ZAIDI YA 100,000 WALIORASIMISHWA

Na WMJJWM – DODOMA Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nda...