Monday, August 13, 2007

Kilwa Kivinje


Tunazo sehemu nyingi sana za kujivunia hapa klwetu bongo mathalani magofu haya ya Kilwa Kivinje ambayo mdau Hussein Issa alikuwako huko na kuyaona, yanasemekana yalikuwako katika karne ya 15.

No comments:

USIPIME KIWANJA UACHE PORI! DODOMA YAWAVAA WAMILIKI WALIOLEGEZA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema itafuta umiliki wa viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa ndani ya muda uliowekwa kisheria, na kuvitwa...