Monday, August 13, 2007

Kilwa Kivinje


Tunazo sehemu nyingi sana za kujivunia hapa klwetu bongo mathalani magofu haya ya Kilwa Kivinje ambayo mdau Hussein Issa alikuwako huko na kuyaona, yanasemekana yalikuwako katika karne ya 15.

No comments:

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...