Monday, August 13, 2007

Kilwa Kivinje


Tunazo sehemu nyingi sana za kujivunia hapa klwetu bongo mathalani magofu haya ya Kilwa Kivinje ambayo mdau Hussein Issa alikuwako huko na kuyaona, yanasemekana yalikuwako katika karne ya 15.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...