Wednesday, August 15, 2007

Timu ya Muafaka



Hawa ndiyo mainjinia wa siasa ya muafaka tunaowategemea kutoka katika vyama vya siasa vya CUF na CCM. Bila shaka watafikia muafaka kama muheshimiwa Rais wetu anavyojitahidi kuhakikisha iwe.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...