Wednesday, August 15, 2007

Timu ya Muafaka



Hawa ndiyo mainjinia wa siasa ya muafaka tunaowategemea kutoka katika vyama vya siasa vya CUF na CCM. Bila shaka watafikia muafaka kama muheshimiwa Rais wetu anavyojitahidi kuhakikisha iwe.

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...