Wednesday, August 15, 2007

Timu ya Muafaka



Hawa ndiyo mainjinia wa siasa ya muafaka tunaowategemea kutoka katika vyama vya siasa vya CUF na CCM. Bila shaka watafikia muafaka kama muheshimiwa Rais wetu anavyojitahidi kuhakikisha iwe.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TRA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya M...