Tuesday, August 21, 2007

Zee la Nyeti ndani ya nyumba

Kwa hakika mnaweza kusema sasa pele limepata mkunaji, maana kaingia ndani ya nyumba mzee mwenyewe machachari, kama mnamkumbuka huyu jamaa mkongwe katika fani hii tangu enzi za Kasheshe, amekuwa akijiita Zee la Nyeti sasa kaingia kwenye kijiji chetu kwa hakika sasa waweza kumpata kupitia hapa au unaweza kumcheki Mdimu

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...