Tuesday, August 21, 2007
Zee la Nyeti ndani ya nyumba
Kwa hakika mnaweza kusema sasa pele limepata mkunaji, maana kaingia ndani ya nyumba mzee mwenyewe machachari, kama mnamkumbuka huyu jamaa mkongwe katika fani hii tangu enzi za Kasheshe, amekuwa akijiita Zee la Nyeti sasa kaingia kwenye kijiji chetu kwa hakika sasa waweza kumpata kupitia hapa au unaweza kumcheki Mdimu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BILIONI 10.5 KUNUFAISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO ZAIDI YA 100,000 WALIORASIMISHWA
Na WMJJWM – DODOMA Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nda...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment