Wednesday, August 01, 2007

Mlima Oldonyo Lengai unavyoonekana sasa



Siku chache zilizopita kulikuwa na hofu kuu ya kuibuka kwa tetemeko katika Mlima wa Mungu maarufu kama Oldonyo Lengai, hebu jionee mandhari. Picha hii ni ya Mussa Juma.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...