Wednesday, August 01, 2007

Mlima Oldonyo Lengai unavyoonekana sasa



Siku chache zilizopita kulikuwa na hofu kuu ya kuibuka kwa tetemeko katika Mlima wa Mungu maarufu kama Oldonyo Lengai, hebu jionee mandhari. Picha hii ni ya Mussa Juma.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...