Sunday, August 12, 2007

Mambo ya Lindi hayo



Barabara ya Lindi mjini kuelekea Mtwara ikiwa katika final touches, mambo huku ni mswano, Mdau Hussein Issa alikuwako na ana habari chungu mzima mtafute.

1 comment:

sizinga said...

duh!!nafurahi kuona barabara hii inafikia final touch manake!!imetuadhibu mno,naomba kuuliza,extension ya barabara hiyo kuelekea dar es salaam nayo inafikia final touch au bado miyayusho??

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...