Sunday, August 12, 2007

Mambo ya Lindi hayo



Barabara ya Lindi mjini kuelekea Mtwara ikiwa katika final touches, mambo huku ni mswano, Mdau Hussein Issa alikuwako na ana habari chungu mzima mtafute.

1 comment:

sizinga said...

duh!!nafurahi kuona barabara hii inafikia final touch manake!!imetuadhibu mno,naomba kuuliza,extension ya barabara hiyo kuelekea dar es salaam nayo inafikia final touch au bado miyayusho??

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...