Thursday, August 16, 2007

Mafisi



Oparesheni inayofanywa na magari haya ni ya kawaida mno katikati ya jiji la Dar es Salaam. Magari haya maarufu kama mafisi yanasifika kwa ubovu na uchafu na taka usitake yatakuwapo waliyapiga marufuku lakini wapi, hebu tafakari mgari huu wa gharama namna hii unaburutwa na gari la Sh 800,000.

No comments: