Wednesday, August 01, 2007

Mama anafikiria nini?



Mwana Mama akiwa amekalia mzigo wake wa Makabichi katika kituo cha basi cha Clinic barabara la Makongoro jijini Mwanza jana. Abiria wengi wanalalamikia kutokuwepo kwa vibanda vya kupumzikia wakati wanasubili usafi na shida kubwa inakuwa kipindi cha mvua. Picha hii imepigwa na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Anonymous said...

Bwana Charahani,

Nakupongeza kwa kazi nzuri unayoifanya. Hongera sana.

Huwa napita kimya kimya. Nadhani si miye pekee yangu ninayepita kimya kimya.

Masalaamia, ni miye maridhiya,

F MtiMkubwa Tungaraza.

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...