Sunday, October 15, 2017

DKT.NDUGULILE AANZA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA KASI


 Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile aliyesimama akiongea na watumishi wa Taasisi ya Taifa ya Uchunguzi wa Dawa (NIMR) hawapo pichani wakati alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya watumishi wa Taasisi ya Taifa ya Uchunguzi wa Dawa (NIMR) wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile hayupo pichani wakati alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es salaam.
 Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC)  Dkt. Joyceline Kaganda kulia wakati alipotembelea ofisi hizo leo jijini Dar es salaam.
 Watumishi wa Taasisi  ya Taifa ya Uchunguzi wa Dawa (NIMR) waliokaa wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile aliyesimama mbele wakati alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya watendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile hayupo pichani wakati alipotembelea ofisi hizo leo jijini Dar es salaam.

Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile wa pili kutoka kushoto waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Taasisi  ya Taifa ya Uchunguzi wa Dawa (NIMR) wakati alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es salaam,  , wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa NIMR Dkt. Yunus Mgaya.
 Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile katikati akiingia katika ofisi za  Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) leo jijini Dar es salaam wakati alipotembelea ofisi hizo, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TFNC Dkt. Joyceline Kaganda.

No comments: