Monday, May 01, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI MEI MOSI KITAIFA MKOANI KILIMANJARO


 Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa  akisalimiana na  Makamu  wa Rais Mama Samia  Suluhu walipokuwa  katika  Sherehe za  Mei  Mosi  zilizofanyika kitaifa mkoani  Kilimanjaro leo 01/5/ 2017  Katika viwanja  vya  Chuo  cha Ushirika  Mkoani  Kilimanjaro.
 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akisalimiana na Mwenyekiti  Mtendaji  wa  IPP.  Dr  Reginali Mengi  walipokuwa  katika  Sherehe za  Mei  Mosi  zilizofanyika  Kitaifa Mkoani  Kilimanjaro leo 01/5/ 2017 katika viwanja  vya Chuo cha Ushirika  mkoani Kilimanjaro.
  Baadhi ya  Wabunge wakiwa  pamoja na watumishi  wa Serikali  katika Sherehe za Mei  Mosi  zilizofanyika  kitaifa mkoani  Kilimanjaro  leo katika viwanja vya Chuo  cha Ushirika  Mkoani  Kilimanjaro
Wafanyakazi wa Kiwanda Chakutengenza  Sukari  (TPC)  Wakipita Kwa maandamo mbele ya mgeni Rasimi Rais Dr John Magufuli  ikiwa ni ishara ya  kusheherekea  Maadhimisho ya Sikukuu ya wafanyakazi  Duniani  ambapo Tanzania Kitaifa  yamefanyika  mkoani  Kilimanjaro   
PICHA  NA  PMO

No comments: