Tuesday, May 16, 2017

MKUU WA MKOA MECK SADIKI NA MAJAJI WAWILI WAACHIA NGAZI


KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na Upendo Msuya.



Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadick.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania & M/kiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, Aloysius Mujulizi.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania, Pendo Hillary Msuya.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...