Tuesday, May 16, 2017

MKUU WA MKOA MECK SADIKI NA MAJAJI WAWILI WAACHIA NGAZI


KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na Upendo Msuya.



Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadick.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania & M/kiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, Aloysius Mujulizi.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania, Pendo Hillary Msuya.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...