Tuesday, May 30, 2017

JENGO LA NHC CHATO LAWEKWA JIWE LA MSINGI NA MWENGE WA UHURU

Jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26 limewekewa jiwe la msingi leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour leo asubuhi. 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour akiweka jiwe la msingi kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 
Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiusubiri mwenge wa uhuru kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 
Wahamasishaji wa mbio za mwenge wakiusubiri Mwenge huo wa Uhuru uwasili katika jengo la Makazi Chato.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi akiongoza kwenye mbio za Mwenge wa Uhuru kuelekea kwenye Jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26 limewekewa jiwe la msingi leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour leo asubuhi.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi akiongoza kwenye mbio za Mwenge wa Uhuru kuelekea kwenye Jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26 limewekewa jiwe la msingi leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour leo asubuhi.
Mwenge wa Uhuru
Mwenge wa Uhuru ukiwa katika jengo la NHC Chato, Kinondoni.


Msoma risala wa Shirika la Nyumba la Taifa, Domina Rwemanyila akisoma risala kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Amour Hammad Amour kwenye  Jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26 limewekewa jiwe la msingi leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour leo asubuhi.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour akiweka jiwe la msingi kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour akikata utepe kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour akiingia kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2017,Amour Hamad Amour akiingia kwenye jengo la Nyumba ya Makazi la NHC Chato, Kinondoni lililopo eneo la Regent Estate Kiwanja nambari 274, Barabara ya Chato, Dar es Salaam linalokaribia kukamilika likiwa na jumla ya nyumba za makazi 26. 

No comments: