Thursday, December 08, 2016

WAZIRI WA BIASHARA, VIWANDA NA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NCHINI RWANDA, FRANCOIS KANIMBA ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Waziri wa Biashara, Viwanda na Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Rwanda, Francois Kanimba akizungumza na waandishi habari mara baada ya kutembelea bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charle’s Mwijage
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charle’s Mwijage akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumtembeza Waziri wa Biashara , Viwanda na Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Rwanda, Francois Kanimba katika bandari ya Dar es Salaam leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Biashara, Viwanda na Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Rwanda, Francois Kanimba akipata maelezo ya Bandari ya Dar es Salaam kwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Biashara , Viwanda na Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Rwanda, Francois Kanimba akitembelea bandari ya Dar es Salaam ikiwa sehemu ya mkutano wa siku mbili wa kujadili masuala ya biashara kati ya Tanzania na Rwanda leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

No comments: