Friday, December 09, 2016
RAIS MAGUFULI ALIVYOONYESHA UKAKAMAVU BAADA YA KUKAGUA GWARIDE
December 9 2016 zimefanyika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara ikiwa ni ya kwanza chini ya Rais Magufuli ambapo aliwasili kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam kwa ajili ya sherehe hizo na alipata nafasi ya kukagua gwaride na baada ya kumaliza na yeye akaonyesha kutembea mwendo wa ukakamavu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Ag...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment