Friday, December 09, 2016

RAIS MAGUFULI ALIVYOONYESHA UKAKAMAVU BAADA YA KUKAGUA GWARIDE


December 9 2016 zimefanyika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara ikiwa ni ya kwanza chini ya Rais Magufuli ambapo aliwasili kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam kwa ajili ya sherehe hizo na alipata nafasi ya kukagua gwaride na baada ya kumaliza na yeye akaonyesha kutembea mwendo wa ukakamavu.

No comments:

BILIONEA ROSTAM AZIZI AANDIKA HISTORIA: ACHUKUA UMILIKI MKUBWA WA NATION MEDIA GROUP, AFUNGUA ENZI MPYA YA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI AFRIKA MASHARIKI

Mfanyabiashara maarufu nchini TANZANIA , Rostam Aziz , ameandika historia mpya katika sekta ya habari baada ya kukamilisha ununuzi wa hisa a...