Wednesday, December 30, 2009

Magari na Makontena bandari ya Dar es Salaam




Magari yakionekana yamejazana ndani ya eneo la Bandari ya Dar es Salaam yakisubiri kutolewa. Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, TPA wamesema kuwa wameanzisha mpango wa dharura wa kuondosha msongamano wa mizigo bandarini hapo.

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...