Wednesday, December 30, 2009

Magari na Makontena bandari ya Dar es Salaam




Magari yakionekana yamejazana ndani ya eneo la Bandari ya Dar es Salaam yakisubiri kutolewa. Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, TPA wamesema kuwa wameanzisha mpango wa dharura wa kuondosha msongamano wa mizigo bandarini hapo.

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...