Wednesday, December 30, 2009

Magari na Makontena bandari ya Dar es Salaam




Magari yakionekana yamejazana ndani ya eneo la Bandari ya Dar es Salaam yakisubiri kutolewa. Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, TPA wamesema kuwa wameanzisha mpango wa dharura wa kuondosha msongamano wa mizigo bandarini hapo.

Tanzania Yaibuka Kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za Worl...