Wednesday, December 30, 2009

Magari na Makontena bandari ya Dar es Salaam




Magari yakionekana yamejazana ndani ya eneo la Bandari ya Dar es Salaam yakisubiri kutolewa. Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, TPA wamesema kuwa wameanzisha mpango wa dharura wa kuondosha msongamano wa mizigo bandarini hapo.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...