Wednesday, December 23, 2009

MATAPELI WA STAILI MPYA WAIBUKA DAR


Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdalah Mssika akiwaonyesha waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar leo madawa ya feki ya kuhifadhia nafaka zisiharibiwe na wadudu ambayo kuna kundi la matapeli lililoibuka linawauzia madawa hayo ambalo linawadanganya wananchi kuwa madawa hayo yanahitajiwa kutumika na Shirika la Chakula la Kimataifa Duniani WFP.


Abdalah Mssika akielekeza waandishi wa habari jinsi ya kuweka nembo za kofia za polisi maana baadhi ya waandishi wanakosea kuweka nembo hiyo kulia sahihi ni kuweka nembo kushoto. Na Upendo Ramson wa Jeshi la Polisi.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...