Wednesday, December 23, 2009

MATAPELI WA STAILI MPYA WAIBUKA DAR


Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdalah Mssika akiwaonyesha waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar leo madawa ya feki ya kuhifadhia nafaka zisiharibiwe na wadudu ambayo kuna kundi la matapeli lililoibuka linawauzia madawa hayo ambalo linawadanganya wananchi kuwa madawa hayo yanahitajiwa kutumika na Shirika la Chakula la Kimataifa Duniani WFP.


Abdalah Mssika akielekeza waandishi wa habari jinsi ya kuweka nembo za kofia za polisi maana baadhi ya waandishi wanakosea kuweka nembo hiyo kulia sahihi ni kuweka nembo kushoto. Na Upendo Ramson wa Jeshi la Polisi.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...