Tuesday, December 22, 2009

Hoteli ya 'JK" iliyobomolewa







PICHANI WAKIONEKANA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA KITALII YA SNOWCREST YA MJINI HAPA WAKIONDOA MABAKI MARA BAADA YA KUVUNJWA KWA UZIO WA HOTELI HIYO NA WAKALA WA BARABARA(TANROADS) MKOANI HAPA,HOTELI HIYO ILIZINDULIWA NA RAIS JAKAYA KIKWETE IJUMAA WIKI ILIYOPITA(PICHA NA MOSES MASHALLA)

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...