Tuesday, December 22, 2009

Hoteli ya 'JK" iliyobomolewa







PICHANI WAKIONEKANA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA KITALII YA SNOWCREST YA MJINI HAPA WAKIONDOA MABAKI MARA BAADA YA KUVUNJWA KWA UZIO WA HOTELI HIYO NA WAKALA WA BARABARA(TANROADS) MKOANI HAPA,HOTELI HIYO ILIZINDULIWA NA RAIS JAKAYA KIKWETE IJUMAA WIKI ILIYOPITA(PICHA NA MOSES MASHALLA)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...