Tuesday, December 29, 2009

Mnigeria chupchup kulipua ndege





Maafisa nchini Yemen wamesema raia wa Nigeria anayetuhumiwa kutaka kulipua ndege ya Marekani siku ya Krismasi alikuwa akiishi nchini Yemen hadi mwanzo wa mwezi huu.

Shirika la habari la Yemen, Saba News, limekariri taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya Yemen ikisema Umar Farouk Abdulmutallab, alikuwa nchini Yemen kuanzia mwezi Agosti hadi mwanzo wa Disemba.

Taarifa hiyo inasema Bw Abdulmutallab alikuwa na kibali kinachomruhusu kujifunza kiarabu katika chuo kimoja katika mji mkuu, Sanaa.

Awali, rais wa Marekani Barack Obama alisema atafanya kila awezalo kuhakikisha wote waliohusika na kupanga njama za kulipua ndege hiyo wachukuliwe hatua za kisheria.

Bw Obama ameahidi kutumia 'nguvu zote za serikali kutibua, na kutokomeza mipango ya watu wenye itikadi kali'. kwa taarifa zaidi soma

2 comments:

Anonymous said...

Initially I didn't pay much consideration to your get in touch with but humored the representative anyway. Quickly I was taken in not from the revenue pitch nor the smoothness but rather the information. The cash loans today loan officer proceeded to speak with me within the pitfalls and tricks from other lenders. He even advised me about http://www.click2articles.com which I was quite interested to hear. I examined this with two lenders I had believed would provide me a deal I could reside with.

Vimax Pills said...

i like it this blog information