Sunday, December 27, 2009

Buriani mke wa Herman


Mwandishi wa Habari na Mpiga Picha wa gazeti la Citizen, Emmanuel Herman akiwa amesimama mbele ya kaburi la mke wake mpendwa Mary Hyera muda mfupi baada ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, pamoja naye ni ndugu na marafiki zake akiwamo Father Kidevu( Mrocky Mrocky) wa pili kushoto, wa kwanza kushoto ni mtoto wa Marehemu, anayyeitwa Elizabeth Emmanuel. Picha ya Zacharia Osanga.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...