Sunday, December 27, 2009

Buriani mke wa Herman


Mwandishi wa Habari na Mpiga Picha wa gazeti la Citizen, Emmanuel Herman akiwa amesimama mbele ya kaburi la mke wake mpendwa Mary Hyera muda mfupi baada ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, pamoja naye ni ndugu na marafiki zake akiwamo Father Kidevu( Mrocky Mrocky) wa pili kushoto, wa kwanza kushoto ni mtoto wa Marehemu, anayyeitwa Elizabeth Emmanuel. Picha ya Zacharia Osanga.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...