Tuesday, December 22, 2009

Albino meeting


Mwenyekiti wa Chama Cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Viti Maalum Al-Shymaa Kway-Geer akizungumza na mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Maalbino Tanzania Mzawa Nyagame (kulia) baada ya ufunguzi wa Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho mjini Dodoma jana.

Baadhi ya wajumbe wa Mkutano mkuu wa Chama Cha Maalbino Tanzania, wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho mjini Dodoma jana. Picha zote na Jube Tranquilino

No comments: