Mwenyekiti wa Chama Cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho mjini Dodoma jana.
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano mkuu wa Chama Cha Maalbino Tanzania, wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho mjini Dodoma jana. Picha zote na Jube Tranquilino
No comments:
Post a Comment