Monday, December 28, 2009

Mambo ya Twanga


Wanenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta International ‘Wazee Wa Kisigino’ wakitoa burudani kwa mashabiki wao wakati wa sikukuu ya Krismasi kwenye ukumbi wa Landmark hotel jijini Dar es Salaam.Picha na Silvan Kiwale

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...