Monday, December 28, 2009

Mambo ya Twanga


Wanenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta International ‘Wazee Wa Kisigino’ wakitoa burudani kwa mashabiki wao wakati wa sikukuu ya Krismasi kwenye ukumbi wa Landmark hotel jijini Dar es Salaam.Picha na Silvan Kiwale

No comments: