

Hebu ndugu msomaji nieleze hii ni sehemu gani ya jiji hili la dar es Salaam , mambo yanabadilika kila kukicha majengo yanaota kama uyoga, ingawa watu wanalalamika kuwa hawana hela, lakini hela ipo nyingi na inamilikiwa na watu wachache mno.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi, iliyoha...
No comments:
Post a Comment