Tuesday, December 29, 2009

Dar es Salaam Bongo



Hebu ndugu msomaji nieleze hii ni sehemu gani ya jiji hili la dar es Salaam , mambo yanabadilika kila kukicha majengo yanaota kama uyoga, ingawa watu wanalalamika kuwa hawana hela, lakini hela ipo nyingi na inamilikiwa na watu wachache mno.

No comments:

UCHUMI WA TAIFA UNATEGEMEA UHIFADHI ASEMA MCHECHU AKIZINDUA GREAT RUAHA MARATHON 2026

RUAHA, IRINGA – Msajili wa Hazina na Mlezi wa Great Ruaha Marathon , Bw. Nehemiah Mchechu , ambaye alimwakilisha Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu w...